Ngoma inaitwa WaraWara na Mpira (Mr Lover). Ukiwa ni wimbo mpya wa G-nako akiwa amemshirikisha Henry,toka Wakwetu Jazz Vibe, Kazi ikiwa ni pishi la studio mbili, Noizmekah Arusha kwa Defxtro pamoja na B records kwa Chizan Brain,
download HAPA ,kwa mawasiliano/Mahojiano/Bookings check na Gnako kupitia +255 715 593 041
No comments: