728x90 AdSpace

MPYA

[recent][ticker2]
14 August 2012

Tickets za Summer Jam Arusha na Vituo vya Ununuzi

Tickets za Mambo Jambo Summer jam Concert itayofanyika siku ya Iddi mosi (Eid el Fitr) Pande za Sheikh Amri Abeid Stadium sasa zinapatikana kote Arusha katika vituo vifuatavyo; Sakina shopping supermarket,Panone petrol station supermarket ngarenaro,Bugaloo pub Njiro complex,Zamzam Bakery sakina kwaiddi,2i pub kijenge banana,JJ Black fashion house mjini kati pamoja na Mpesa shop iliyopo Perferct Choice supermarket mkabala na chuo cha tropical centre.wahi sasa ticket ni buku mbili tu (2000/=),na kila ticket ina coupon ya bahati nasibu hiyo waweza kujishindia Blackberry,Flatscreen tv,Tshirts na hata Pesa Taslim pale uwanjani !!Mbali na draw hiyo utapata kuwashuhudia live on stage,WEUSI,FidoVato,JCB,StopaRhymes,Bounako,TaigaRaiz,Gentriez,Meccacheka,J4C,Yung Omega,EffectZero,May C,BadTaito,MirryCandle,Veejay na Gfaya,Mambojambo summer jam,muziki kazi!!!!

©2012 Nolniz Blog™
Tickets za Summer Jam Arusha na Vituo vya Ununuzi Reviewed by Nolniz on Tuesday, August 14, 2012 Rating: 5 Tickets za Mambo Jambo Summer jam Concert itayofanyika siku ya Iddi mosi (Eid el Fitr) Pande za Sheikh Amri Abeid Stadium sasa zinapatikana ...

Labels:

[News][carousel1]

No comments: