728x90 AdSpace

MPYA

[recent][ticker2]
14 July 2012

YOUNG BUCK KWENDA JELA MIAKA MITATU

Kama inavyoonekana hivi karibuni karibu kila siku tunaona rapa tunayemjua akihukumiwa kifungo jela, kutoka kwa Beanie Sigel, sasa imekuwa zamu kwa aliyekuwa member ya G-Unit, Young Buck.
Young Buck amehukumiwa kifungo hicho kwa kosa la umiliki wa silaha isivyo kihalali na hivyo kuhukumiwa mara mbili kifungo cha miezi 18
!!
Nafasi bado ipo kwa Buck kukata rufaa kama hajaridhika na hukumu hiyo hivyo kunauwezekano kifungo chake (hukumu) ikapunguzwa
YOUNG BUCK KWENDA JELA MIAKA MITATU Reviewed by Nolniz on Saturday, July 14, 2012 Rating: 5 Kama inavyoonekana hivi karibuni karibu kila siku tunaona rapa tunayemjua akihukumiwa kifungo jela, kutoka kwa Beanie Sigel, sasa imekuwa za...

Labels:

[News][carousel1]

No comments: