728x90 AdSpace

MPYA

[recent][ticker2]
18 April 2012

ShyRose Bhaji na wengine nane washinda nafasi za uwakilishi bunge la Afrika Mashariki

Hawa ndio walioshinda kuwa
wabunge wa Afrika
Mashariki ,Shayrose Banji, Anjela
Charless Kizigha, Mwinyi
Hassan, Taslim Twaha Issa, Kesi
Ndelakindo Perepetua, Kimbisa
Adam Omary,Murunya
Bernad,Makongoro Nyerere na
Yahya .
Tunawapongeza kwa ushindi huo
na pia tunawatakia kila la kheri
katika majukumu yaliyo mbele
yao na kuiwakilisha vyema Tanzania huko waendapo.



2012© Nolniz Blog®
ShyRose Bhaji na wengine nane washinda nafasi za uwakilishi bunge la Afrika Mashariki Reviewed by Nolniz on Wednesday, April 18, 2012 Rating: 5 Hawa ndio walioshinda kuwa wabunge wa Afrika Mashariki ,Shayrose Banji, Anjela Charless Kizigha, Mwinyi Hassan, Taslim Twaha Issa, Kesi ...

[][carousel1]

No comments: