Akiwakilisha vyema mkoa wa moshi na pia kundi zima la WestPasu, si mwingine ni rapper BigDaddy Don aka Malai Junior na wimbo "Ma Life" uliorekodiwa Arusha, katika studio za Noizmekah chini ya Producer Defxtro, ngoma hii ni Hiphop yenye kionjo kidogo cha kuimba kutoka kwa mchizi mkali wa chorus kwa jina la Chozi, pata kuisikiliza/download HAPA na kwa mawasiliano/mahojiano zaidi na Big Daddy Don check naye kwa Simu nambari +255 763 302 950
Akiwakilisha vyema mkoa wa moshi na pia kundi zima la WestPasu, si mwingine ni rapper BigDaddy Don aka Malai Junior na wimbo "Ma Life" uliorekodiwa Arusha, katika studio za Noizmekah chini ya Producer Defxtro, ngoma hii ni Hiphop yenye kionjo kidogo cha kuimba kutoka kwa mchizi mkali wa chorus kwa jina la Chozi, pata kuisikiliza/download HAPA na kwa mawasiliano/mahojiano zaidi na Big Daddy Don check naye kwa Simu nambari +255 763 302 950
Download | Big Daddy Don Ft. Chozi - Ma Life [Audio]
Reviewed by Nolniz
on
Saturday, August 17, 2013
Rating:
No comments: