"Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama, mwendo wa shuttle kikubwa kabisa mpaka jiji la Kibaki. Mapokezi mazito toka kwa Sister Kakii ambaye ndiye mwenyeji wetu, mapumziko ya kutosha katika apartments tulizotengewa ready for makamuzi ya hatari for fans wetu wa Nairobi kesho yake.
Tumejifunza mengi,mziki wetu unakubalika kuliko maelezo na Meccacheka tumewakilisha vizuri pande za Kenya. Shukrani tele ziende kwa washabiki zetu all over Arusha kwa kutusupport hadi kutambulika nchi jirani , Familia zetu, Producers wa ngoma zetu na Media house zote Zinazosupport Meccacheka movements. Huu ni mwanzo tu wa safari yetu ya kimuziki, watu wetu pande za Kenya wategemee show nyingine pande za Mombasa mwisho wa Mwaka huu.
Kwa sasa tumerudi fit pande za home tunajipanga kurecord pini mpya kadhaa pande za noizmekah studios.
Unaweza Pata nyimbo zao kwa kuzidownload hapa
Wimbo "Pole" - Bonyeza link kudowload..
Wimbo "Cheka Ung'atwe" bonyeza kwenye link kudownload..
Napita tu :-p
ReplyDeleteHahahahaaam..!! Pouwaaaa kitoto
Delete